---
Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini
Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na Omary Nyembo 'Ommy Dimpoz' usiku wa kuamkia
leo wameweka historia kwa kufanya shoo ya aina yake ndani ya ukumbi wa kisasa wa
Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam. Wasanii hao walisindikizwa
na mkali Juma Nature na kundi lake la Wanaume Halisi, Msanii mkongwe Ally Baucha
pamoja na Bendi ya Extra Bongo. Shoo hii imeletwa kwenu kwa hisani kubwa ya
Serengeti Premium Lager na Vodacom - Wajanja wa Kujirusha
No comments:
Post a Comment