Wednesday, June 26, 2013

Mama awaandalia mafunzo wanawake wajasiriamali jijini Dar es Salaam, yafunguliwa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Kigoda

 

 

Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa, akitoa hotuba yake  wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko Dk. Abdallah Kigoda  akifungua mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. Mafunzo hayo  yanaendeshwa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), chini ya Mama Anna Mkapa.
 Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo, wakimsikiliza Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko Dk. Abdallah Kigoda  akifungua  mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. 
Mwanamke mjasiriamali, ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura maarufu kwa jina la 'Lady JayDee' akitumbuiza wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. Mafunzo hayo  yanaendeshwa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), chini ya Mama Anna Mkapa.
Mwanamke mjasiriamali, ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura maarufu kwa jina la 'Lady JayDee' akitumbuiza wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. Mafunzo hayo  yanaendeshwa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), chini ya Mama Anna Mkapa.
Mwanamke mjasiriamali, ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura maarufu kwa jina la 'Lady JayDee' akitumbuiza wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. Mafunzo hayo  yanaendeshwa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), chini ya Mama Anna Mkapa.
Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa  na Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko Dk. Abdallah Kigoda wakiwa katika picha ya pamoja na wake wa viongozi mbalimbali  pamoja na wafanyakazi wa EOTF  wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT),Mgulani jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa Kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa  na Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Abdallah Kigoda wakiwa katika picha ya pamoja na wake wa viongozi mbalimbali  pamoja, wafanyakazi wa EOTF  na wanawake wajasiriamali  wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu ya  wanawake wajasiriamali yanayoendelea kwenye  ukumbi wa Bwalo la Maafisa la Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mgulani jijini Dar es Salaam leo. (Picha  zote na Magreth Kinabo - Maelezo)

No comments:

Post a Comment