Tuesday, September 3, 2013

Mwenge kuwasili na kukimbizwa jijini Dar es Salaam kesho

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Mwenge wa Uhuru, unaowasili na kupokelewa pia kukimbizwa kesho asubuhi, jijini ambapo utawasili saa 2 na nusu na kupokelewa Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea mkoani wa Pwani. (Picha zote na Kassim Mbarouk)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Mwenge wa Uhuru, unaowasili na kupokelewa pia kukimbizwa kesho asubuhi, jijini ambapo utawasili na kupokelewa Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea mkoani Pwani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Mwenge wa Uhuru, unaowasili na kupokelewa pia kukimbizwa kesho asubuhi, jijini ambapo utawasili na kupokelewa Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea mkoani Pwani. Wapili kushoto ni Ofisa Elimu Mkoa, Raymond Mapunda.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, alipokuwa akizungumza nao leo, kuhusu ziara ya Mwenge, unaowasili na kupokelewa kesho asubuhi, Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea Mkoa wa Pwani. Kushoto ni Ofisa Elimu Mkoa, Raymond Mapunda.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Mwenge wa Uhuru, unaowasili na kupokelewa pia kukimbizwa kesho asubuhi, jijini ambapo utawasili na kupokelewa Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea mkoani Pwani. Kulia ni Ofisa Elimu Mkoa, Raymond Mapunda.
Baadhi ya Maofisa wa Kamati ya Mapokezi ya Mwenge ya Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa katika mkutano huo na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu ziara ya Mwenge, unaowasili na kupokelewa kesho asubuhi, Uwanja wa Ndege wa Zamani, ukitokea Mkoa wa Pwani.
 

No comments:

Post a Comment