Wednesday, May 15, 2013

CLOUDS FM YATIKISA DODOMA


-->
Weekend hii ilikuwa imejaa shamra shamra chungu nzima katika jiji la Dodoma.  wa Clouds FM kwa wasikilizaji wake. Msimu huu umepewa jina  la Made in Tanzania na kauli mbiu ya Twenzetu
Jambo kubwa lililotikisa jiji hili ni shughuli za kuzindua msimu mpya wa

Uzinduzi huo ulisindikizwa na show kubwa ya muziki, semina za kufungua na kuelekeza macho katika fursa mbalimbali zinazowezekana kufanyika kwa vijana wa Kitanzania na tukio moja kubwa la maandamano makubwa ya kupinga uharamia wa kazi za wasanii. Mgeni rasmi katika yote ha alikuwa Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda.