Wednesday, March 27, 2013

SHEREHE ZA UZINDUZI WA UKUMBI WA MIKUTANO WA KISASA WA MWALIMU JULIUS NYERERE ULIOFANYWA NA RAIS WA CHINA X1 JINPING

 



 Kikundi cha sanaa cha JKT Mgulani kikitumbuiza wakati wa sherehe hizo
               Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kimejengwa kwa msaada wa China kwa gharama ya dola za Marekani mil. 15
 Sehemu ya ndani ya ukumbi huo ikiwa imepambwa na Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere
                                                               JWTZ Sanaa ikitumbiza
 Rais wa China  akiondoka baada ya kukabidhi kituo hicho kwa Rais Jakaya Kikwete
                        Ali Kiwanga (katikati) akiwa na marafiki zake wakati wa sherehe hizo
 Wageni waalikwa wakiangalia picha mbalimbali za kumbukumbu ndani ya kituo hicho
                            Ali Kiwanga (wa pili kushoto) akiwa na marafiki zake wakati wa hafla hiyo
                         Ridhiwani Kikwete (kulia) akiwa na  marafiki zake wakati wa sherehe hizo

Monday, March 25, 2013

RAIS WA ZANZIBAR NA RAIS WA CHINA,WAKUTANA KATIKA KIKAO SERENA HOTEL

IMG_8560
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar alipowasili katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es
Salaam,alipokuwa na Mkutano na Rais wa China Xi Jinping,leo asubuhi.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8577
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China
Xi Jinping,katika Ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena Jijini Dar es
Salaam,walipokutana kwa mazungumzo ya Kiutendaji.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
 IMG_8595
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akimtambulisha Waziri wa Fedha,Uchumi
na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee,kwa  Rais wa Jamhuri ya Watu
wa China Xi Jinping,katika Ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena
Jijini Dar es Salaam,walipokutana kwa mazungumzo ya Kiutendaji.[Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8613
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China
Xi Jinping,katika Ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena Jijini Dar es
Salaam,walipokutana leo asubuhi ikiwa ni hatua ua ushirikiano katika
nchi mbili hizi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8622
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Balozi Mdogo wa China anyeishi
Zanzibar Bibi Chen Yiman,baada ya mazungumzo na Rais wa China Xi
Jinping,leo asubuhi katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam,

Thursday, March 21, 2013

UZINDUZI WA OFISI YA WEMA SEPETU WAFANA DAR


Haitmaye mwanadada ambaye kwa sasa anatisha kwenye game pamoja na mafanikio makubwa anastahili sifa na pongezi nyingi sana kwa kuzindua ofisi yake kubwa sana ambayo kwakeli ni mfano wa kuigwa kwa wasanii wengine wa kike aliwalika wasanii wenzake baadhi na waandishi wa habari kwa ajilia ya kuwaatambulisha ofisi yake hiyo Hongera sana..


Wema Sepetu akiongea machache mbele ya waandishi wa habari pamoja na wadau walioalikwa

Dotinata wa kulia akiwa na Mama Mlezi wa Bongo Movie Unit Mama Rolaa Masai wakimsikiliza Wema kwa umakini mkubwa..

Wema pamoja na Mama yake Mzazi..

Martin Kadinda Meneja wa Wema Sepetu..


Wema Sepetu

Muda wa maswali na majibu ulifika kwa waandishi mbalimbali wa habari..

Hiki ni chumba cha Editing.

Jikoni

Frank Andrew(Kibonge) Editor wa Endless Film..

Tin Daddy bila kukosa..

Waandishi wa vyombo vya habari mbalimbali wakipata matukio mbalimbali


The Greatest nikiwa nimeenda kumpa sapoti Dada Wema Sepetu..

Akijibu maswali ya waandishi wa habari..

JB naye alikuwepo umefika muda ya wewe pia kutupeleka ofisini kwako

Cloud 112

Millady Hayo mtangazaji wa Clouds Fm kipindi cha Emprifaya aliyevalia kofia..


Muda wa mahojiano na wasanii mbalimbali ulifika pia hapa Jb akiulizwa maswali kuhusu mtizamo wake kuhusu ofisi ya Wema ..

Cloud akiulizwa maswali na Zamaradi Mketema.


Mama Sepetu akiongea mchache juu ya Mwanae kipenzi.



Mama na Mwana.

Mama Rolaa na Wema Sepetu..

Millady Ayo na Martin Kadinda.

RWANDA MOVIE AWARDS 2013 YAFANA


Wadau kama nilivyowaandikia mwanzo kwamba tulikuwa Rwanda kwa ajili ya kutoa tuzo zinzoitwa Rwanda Movies Awards, hawa jamaa wako makini sana katika swala zima tuzo hii mi kumfanya msanii haweze kutengeneza kazi nzuri ili apate tuzo maana tuzo ndio kipimo cha msanii kujua uwezo wake umefika wapi, tuzo zenyewe ndizo hizo hapo juu kama mnavyoziona wadau wa tasnia ya filamu Afrika wacha tuone mambo yalivyokuwa..

Maandalizi yakifanyika kwa mrembo wetu Dada Irene Uwoya kabla ya kwenda sehemu ya tukio..

Hapa tukiwa Serena Hotel ya Rwanda lilipofanyika tukio ilo la utoaji wa tuzo kubwa zinazofanyika kila mwaka..

JB

JB na Uwoya kwenye pozi..


The Greatest nikiajiandaa kuelekea ukumbini.


Jb akiwa pamoja na Uwoya ndani ya Land Cruser..

The Greatest pamoja na King Majuto pia wakiwa ndani ya Land Cruser hakuna kubanana ni wawili wawili tu, jamaa walitupa eshima kubwa sana ..

Tukiwasili kwenye ukumbi wa SERENA HOTEL..


Tukielekea sehemu ya tukio..

Watu walikuwa ni wengi sana si unacheki mwenyewe bana mimi wala sina la kusema yani watu wa Rwanda wanawapa sapoti kubwa sana wasanii wao wa Nchi yao ili ni lakuigwa na nyinyi ndugu zetu Watanzania..

JB alikuwa wa kwanza kuingia ukumbini..

King Majuto akiingia ndani ya ukumbi.

Wadada wa Kinyarwanda walikuwa ni wakumwaga..

Irene Uwoya naye akiingia kwa mbwembwe nyingi sana

The Greatest nilikuwa wa mwisho kuingia..

Mambo yakiendelea..


Huyu dada wa kulia yeye alichukua tuzo ya msanii anayependwa kuliko wasanii wote Rwanda..

Mmoja wa wasanii wakubwa wa Rwanda ni huyu jamaa mwenye tai nyekundu yeye alichukua tuzo ya msanii anyependwa kwa upande wa wanaume..

Baadhi ya wasanii wa Rwanda..

Anaitwa Jackson ni Mwenyekiti wa tuzo hizo..

Watu walikuwa wengi sana..

Mwenyeji wetu huyo wa Rwanda yeye ni mwanajeshi alipewa jukumu la kutulinda..

Tuko makini..

Kambarage toka kampuni ya Steps pia alikuwepo..

Majuto akiongea machache..

Ratiba zikiendelea..

Ulifika muda wa The Greatest kutoa Tuzo..

Msanii bora wa kike ndiyo huyo hapo wadau..

The Greatetst nikimkabidhi tuzo mwandada huyo aliyeshinda kuwa msanii bora wa kike..

Nikiongea machache..

Jb pia akiongea machache na yeye..

JB akikabidhi tuzo..

ulifika muda wa Uwoya kwenda kutoa tuzo..

Akisubili muhusika kufika...

Akimkabidhi tuzo msanii bora wa kiume..

 Msanii wa kiume anayependwa Rwanda akielekea kuchukua Tuzo yake..

 The Gtreatest nikimpa hongera jamaa..

Akikabidhiwa Tuzo yake..

Akishukuru watu waliompigia kura..

Mmoja wa Warembo wa Rwanda naye akishukuru watu waliompigia kura..

Warembo wa Rwanda..

Hili kombe ni kwa ajili ya Filamu Bora ya Mwaka..

Wakishangilia kwa ushindi walioupata, hawa ni baadhi ya washiriki wa movie hiyo walioshinda.

Picha ya kumbukumbu.

Irene Uwoya akiojiwa mchache na waandishi wa habari..

Huyu Mama alikuwa ananifuta viatu kwa nguo zake uku akilia kwa uchungu baada ya kuniona kwakweli hawa watu wa Rwanda wana upendo mkubwa sana kwa wasanii..

Mdau wangu akilia kwa furaha..

Mambo yalikwisha na watu kuendelea na mambo mengine hivyo ndivyo mambo yalivyokuwa...