Sunday, March 17, 2013

KIGALI GENOCIDE MEMORIAL,WASANII WAKITANZANIA WAKITEMBELEA



Wadau tulipata bahati ya kwenda kutembelea Kigali Genocide Memorial katika ziara yetu Nchini Rwanda kwakweli tumejifunza vitu vingi sana Watanzania tupendane na tueshimiane tusiwe na mambo ya udini wala ukabila maana vita ni kitu kibaya sana usikie tu kwa wenzako na sio nchini kwako tudumishe amani tuliyokuwanayo Watanzania, ukifika hapa ndio utajua ubaya wa vita embu tucheki mambo yalivyokuwa tulipotembelea maeneo haya ya kumbukumbu uliyosababishwa na vita vya ukabila..

Trafiki aliyekuwa akituongoza kwenye msafara wetu jamani uko tulikuwa kama viongozi wa Nchi niu mwendo wa eskoti ya police yani wanyarwanda wanajua maana ya msanii ni nani maana tulipewa eshima kubwa sana nchini humo

Tukiwasili maeneo ya kumbukumbu na huo ndio msafara wetu wadau..

The Greatest na King Majuto..

Tukisalimiana na baadhi ya viongozi wa kampuni ya Steps...

Irene Uwoya akisalimiana na Jay toka kampuni ya Steps...

The Greatest nikiteta kitu na Irene Uwoya.

Hii ni sinema iliyotengenezwa na Steps iliyofanyika nchini Rwanda ilizinduliwa rasmi nchini humo siku ya Rwanda Film Awards ilikuwa inzungumzia mambo ya Gnocide...

The Greatest

Tukielekea kwenye makumbusho..

Hapa tukipata maelekezo toka kwa wenyeji wetu kabla ya zoezi kuanza..

Baada ya kupata maelekezo hayo tulianza kwenda eneo la kwanza ambalo kuna maiti zilizokaushwa na madawa kwa ajili ya makumbusho ya kuwaambia Wanyarwanda kwamba vita sio kitu kizuri...

Hapa ndio sehemu yenyewe yenye maiti hizo..

Tukipata maelezo toka kwa mtaalam wa sehemu hiyo..

Mambo yakiendelea...

Mwanzo kabisa zilikuwaga zipo wazi lakini baada ya kuwaona Wanyarwanda wengi wakienda kutizama walikuwa wanalia sana na kuzimia wakaamua kuzifunika na mashuka , wadau hizi ni maiti.

Tukiweka mashada kama ishara ya upendo na kuwaombea kwa Mungu wapumzike kwa amani..

Jb akiweka mashada..

King Majuto naye akiweka mashada..

The Greatest pia niliweka mashada

Irene Uwoya..

Tukielekea maeneo mengine ya makumbusho.


Hapa tukipata maelezo jinsi vita vya wenyewe kwa wenyewe vya ukabila jinsi vilivyoanza..

Picha mbalimbali za matukio yaliyotokea..

Vita ni mbaya sana.

Watoto wadogo wengi walikufa kwenye vita hivyo ni simanzi kubwa sana wadau..

Baadhi ya mafuvu binadamu yaliyosababishwa na vita hivyo

Nikisoma baadhi ya kumbukumbu..

Tukijiandaa kuondoka


Mapaparazi hawakuwa nyuma kunioji niliyoyaona katika makumbusho hayo


No comments:

Post a Comment